Vitrisi wa Rouen (pia: Victricius, Victrice; 330 hivi - 407 hivi) alikuwa askofu wa Rouen, leo nchini Ufaransa, kuanzia mwaka 386 au 393, akafanya umisionari hasa katika maeneo ya Ubelgiji ya leo[1].

Mt. Vitrisi katika dirisha la kioo cha rangi.

Kabla ya kuongokea Ukristo alikuwa askari[2]; baadaye alikataa kuendelea jeshini hata aliteswa sana akahukumiwa kupewa adhabu ya kifo, lakini alifaulu kujinasua.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 7 Agosti[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Gillian Clark, "Victricius of Rouen: Praising the Saints (Introduction and annotated translation)," Journal of Early Christian Studies, 7 (1999), 365-399; = in Eadem, Body and Gender, Soul and Reason in Late Antiquity (Farnham; Burlington, VT, Ashgate, 2011) (Variorum collected studies series, CS978), art. XII.
  • Gillian Clark, "Translating relics: Victricius of Rouen and fourth-century debate," Early Medieval Europe, 10 (2001), 161–176; in Eadem, Body and Gender, Soul and Reason in Late Antiquity (Farnham; Burlington, VT, Ashgate, 2011) (Variorum collected studies series, CS978), art. XIII.
  • Kirsten Groß-Albenhausen, "Victricius, Bischof von Rouen"

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.