Vulframi (alifariki Fontenelle, 20 Machi 703[1]) alikuwa mmonaki halafu askofu wa 27 wa Sens, Ufaransa, aliyefanya bidii kuinjilisha Wafrisia.

Sanamu yake huko Grantham, Lincolnshire.

Baadaye aling'atuka na kurudi katika monasteri ya Wabenedikto hadi kifo chake[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Machi[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. The year of his death has been variously dated between 700 and 720.
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/46080
  3. Martyrologium Romanum

Marejeo hariri

  • Knapp, M.G. St.Wulfram's Parish Church, Grantham (1999)
  • Muskett, P. St. Wulfram's Grantham Plan A leaflet guide to St. Wulfram's church building in Grantham. (c.1980)
  • Pointer, M. The Glory of Grantham (1978) ISBN|0-906338-06-9
  • Thorne, J.O. Chambers Biographical Dictionary (1969) SBN 550-16001-9
  • Volkmann, J-C. Bien Connaître Les Généalogies des Rois de France (1997) ISBN|2-87747-208-6
  • Emile Brouette, Vulfranno, arcivescovo di Sens, santo, in «Bibliotheca Sanctorum», vol. XII, coll. 1363-1365

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.