Wilaya ya Kasulu ni wilaya mojawapo kati ya 8 za Mkoa wa Kigoma yenye msimbo wa posta 47300.

Mahali pa wilaya za Kasulu (kijani cheusi) katika mkoa wa Kigoma (kijani) na Tanzania kwa jumla.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 425,794.

Katika sensa ya mwaka 2022 wazazi walihesabiwa 537,767 [1], baada ya eneo lake kumegwa ili kuanzisha wilaya za Kasulu Mjini na Buhigwe iliyoko jimbo la mashariki mwa Kasulu, ikipakana na nchi ya Burundi.

Mito iko mingi ukanda huu, maji yake hayakauki takriban mwaka mzima.

Inazo hospitali za Muhinda, ambayo ni ya Kanisa Katoliki, na Nyamasovu pia, ambayo ni ya Wasabato.

Manyovu ni tarafa muhimu kwa kilimo cha kahawa, ndizi, nanasi, miti ya matunda.

Marejeo hariri

Kigezo:Kata za Wilaya ya Kasulu

  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kigoma bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kasulu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.