Wilaya ya Mpanda Vijijini

Wilaya ya Mpanda Vijijini ilikuwa eneo la kiutawala kwenye Mkoa wa Rukwa ambalo tangu mwaka 2012 ni eneo la mkoa wa Katavi ikabadilishwa jina kuwa Wilaya ya Tanganyika.

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Katavi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.