Adelino wa Celles (pia: Hadelinus; alifariki 690 hivi[1]) kwanza alifanya kazi ikulu[2] , halafu akawa mmonaki, padri, mmisionari, mwanzilishi wa monasteri na hatimaye mkaapweke[3].

Mt. Adelino katika dirisha la kioo cha rangi huko huko Visé.

Alifanya kazi ya kueneza Injili hasa Ubelgiji, akishirikiana na mwalimu wake, askofu Remakli[4] .

Tangu kale ameheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[5].

Sikukuu yake ni tarehe 3 Februari[6].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Goyau, Georges. "Namur." The Catholic Encyclopedia Vol. 10. New York: Robert Appleton Company, 1911. 3 December 2021
  2. "Celles", Bienvenue à Houyet
  3. Monks of Ramsgate. "Hadelin". Book of Saints 1921. CatholicSaints.Info. 1 September 2013
  4. "Hadelin", Latin Saints of the Orthodox Patriarchate of Rome
  5. Baring-Gould, Sabine. "Hadelin", The Lives of the Saints, Volume II, London, John C. Nimmo, 1897
  6. Martyrologium Romanum
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.