Aleksanda wa Lyon (+ 178)

Aleksanda wa Lyon (alifariki Lyon, mji mkuu wa Gallia, leo nchini Ufaransa, 24 Aprili 178) alikuwa tabibu Mkristo kutoka Frigia, Uturuki, ambaye, baada ya mateso makali, alisulubiwa katika dhuluma ya kaisari Marcus Aurelius dhidi ya Ukristo iliyosababisha mauaji makubwa katika mji wa Lyon [1][2].

Ilikuwa siku mbili baada ya rafiki yake mkuu, Epipodi, kukatwa kichwa kwa ajili ya imani.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[3][4].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake[5].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. http://santiebeati.org/dettaglio/50630
  2. Bzovius, Nomenclator Sanctorum Professione Medicorum; Martyrol. Roman, ed. Baron.
  3. Ruinart. Acta Martyrum, 1859 ed., p. 119
  4. Phillips, Fr Andrew. "Latin Saints of the Orthodox Patriarchate of Rome". orthodoxengland.org.uk. Iliwekwa mnamo 2017-03-01. 
  5. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.