Andrea Kalibita
Andrea Kalibita (Krete, Ugiriki, karne ya 8 - Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 767) alikuwa mmonaki mwenye maisha magumu sana tangu ujanani, ambaye alidhulumiwa na hatimaye kuuawa na kaisari Konstantino V kwa sababu ya kuheshimu picha takatifu[1][2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Janin (1964), p. 70.
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/74455
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo hariri
- Attwater, Donald and Catherine Rachel John. The Penguin Dictionary of Saints. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. ISBN 0-14-051312-4.
- Janin, Raymond (1964). Constantinople Byzantine (toleo la 2). Paris: Institut français d'etudes byzantines.
- Müller-Wiener, Wolfgang (1977). Bildlexikon Zur Topographie Istanbuls: Byzantion, Konstantinupolis, Istanbul Bis Zum Beginn D. 17 Jh (kwa German). Tübingen: Wasmuth. ISBN 978-3-8030-1022-3.
- Brubaker, Leslie; Haldon, John (2011). Byzantium in the Iconoclast era (ca 680-850). Cambridge: Cambridge University Press. ISBN 978-0-521-43093-7.
Viungo vya nje hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |