Arthur Edmund Carewe

Arthur Edmund Carewe (aliyezaliwa kama "Hovsep Hovsepian", Desemba 30, 1884 - Aprili 22, 1937) alikuwa mwigizaji wa filamu wa Kiarmenia zisizo na sauti.

Arthur Edmund Carewe

Arthur Carewe
Amezaliwa Desemba 30, 1884
Amekufa Aprili 22, 1937
Kazi yake [mwigizaji]] wa filamu wa Kiarmenia

Maisha ya zamani hariri

Alizaliwa huko Trabzon (Trebizond), Dola la Osmani, Carewe alitoka katika familia ya kitajiri katika nchi yake ya asili.

Baba yake, Garo, alikuwa akifanya biashara katika benki na alichukua ujuzi kutoka nafasi zake katika bunge la kitaifa na bodi ya elimu. Baba yake alifariki mwaka 1892 katika mauaji ya Hamidian.

  Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Arthur Edmund Carewe kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.