Bwambo ni kata ya Wilaya ya Same katika Mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania.

Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2022, kata ilikuwa na wakazi wapatao 9,670 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 9,479 [2] walioishi humo.

Kata hiyo ina jumla ya vijiji vitatu: Vugwama, Mweteni na Bwambo.

Sehemu ya hifadhi ya msitu wa asili wenye kilele kirefu kuliko vyote wilayani Same (Kilele cha Shengena) ipo ndani ya kata ya Bwambo. Maeneo mengine muhimu katika kata ya Bwambo, ambayo huvutia hata watalii ni Vilele vya Kwamwenda na Kwakibulu; pamoja na mto Saseni ulio mpakani mwa kata jirani ya Mpinji.

Tanbihi hariri

  1. https://www.nbs.go.tz
  2. "Sensa ya 2012, Kilimanjaro - Same DC". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2004-01-02. Iliwekwa mnamo 2016-05-21. 

Marejeo hariri

  • Kileng'a, Aaron (2015) The Implications of Bilingualism on Southern Chasu, Lambert Academic Publishing: Saarbücken Germany. ISBN: 978-3-659-74948-3
  Kata za Wilaya ya Same - Mkoa wa Kilimanjaro - Tanzania  

Bangalala | Bendera | Bombo | Bwambo | Chome | Gavao Sawene | Hedaru | Kalemawe | Kihurio | Kirangare | Kisima | Kisiwani | Lugulu | Mabilioni | Makanya | Maore | Mhezi | Mpinji | Mshewa | Msindo | Mtii | Mwembe | Myamba | Ndungu | Njoro | Ruvu | Same Mjini | Stesheni | Suji | Tae | Vudee | Vuje | Vumari | Vunta

  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bwambo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Isipokuwa usitaje majina ya viongozi waliopo sasa maana wanabadilika haraka mno.