Wilaya ya Same

Wilaya ya Same ni wilaya moja kati ya wilaya 7 za Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania.

Wilaya ya Sama ndani ya Mkoa wa Kilimanjaro
Mahali pa Same (kijani) katika mkoa wa Kilimanjaro.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 269,807.[1]

WIlaya hii imepakana upande wa kazkazini na Wilaya ya Mwanga na nchi jirani ya Kenya, upande wa kusini na Mkoa wa Tanga na upande wa magharibi na Mkoa wa Manyara. Makao makuu yapo Same Mjini.

Upande wa kusini ya Milima ya Pare upo ndaniy a wilaya pamoja na sehemu ya Hifadhi ya Mkomazi.[2]

Njia ya reli ya Usambara inapita wilayani.


MarejeoEdit

Viungo vya NjeEdit

  Kata za Wilaya ya Same - Mkoa wa Kilimanjaro - Tanzania  

Bangalala | Bendera | Bombo | Bwambo | Chome | Gavao Sawene | Hedaru | Kalemawe | Kihurio | Kirangare | Kisima | Kisiwani | Lugulu | Mabilioni | Makanya | Maore | Mhezi | Mpinji | Mshewa | Msindo | Mtii | Mwembe | Myamba | Ndungu | Njoro | Ruvu | Same Mjini | Stesheni | Suji | Tae | Vudee | Vuje | Vumari | Vunta|}


  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Same kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Isipokuwa usitaje majina ya viongozi waliopo sasa maana wanabadilika haraka mno.