Kinyonga

(Elekezwa kutoka Chamaeleonidae)
Kinyonga
Kinyonga shingo-lisani
Kinyonga shingo-lisani
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Reptilia (Wanyama wenye damu baridi na magamba ngozini)
Oda: Squamata
Nusuoda: Lacertilia
Familia: Chamaeleonidae
Rafinesque, 1815
Ngazi za chini

Nusufamilia 2:

  • Brookesiinae
  • Chamaeleoninae

Vinyonga au vigeugeu (jina la kisayansi: Chamaeleonidae) ni aina za mijusi. Wana miguu kama kasuku, ulimi ndefu na pia spishi fulani zina pembe au uwezo wa kugeuka rangi zake. Wanapatikana katika Afrika, Madagaska, Hispania na Ureno, Kusini mwa Asia, Sri Lanka na hata Hawaii, Kalifonia na Florida, na pia wanapatikana msituni mwa mvua au jangwani.

Vinyonga wengine huwa na sumu. Kwa mfano, kinyonga wa Namakwa ana sumu kiasi cha kuweza kumpofusha binadamu.

Spishi za Afrika ya Mashariki hariri

Picha hariri

  Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kinyonga kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.