Efebo wa Napoli (pia: Euphebius, Ephebus, Euphemus, Efrimus, Eframo; alifariki karne ya 4) alikuwa askofu wa 8 wa Napoli, Italia anayesifiwa kwa uaminifu na juhudi zake kama mchungaji wa waumini na kwa miujiza yake[1].

Mchoro wa Luca Giordano, Watakatifu wasimamizi wa Napoli: Bakulo, Efebo, Fransisko Borgia (wamesimama), Aspreno] na Kandida Mzee (magotini)) wakiabudu Msulubiwa, karne ya 17. Uko katika Palazzo Reale, Napoli.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Mei[3][4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/54440
  2. Henry Wace and William George Smith (editors), A Dictionary of Christian biography, literature, sects and doctrines: being a continuation of "The dictionary of the Bible"., Volume 2 (Murray, 1880), 291.
  3. Martyrologium Romanum
  4. http://www.boston-catholic-journal.com/roman-martrylogy-in-english/roman-martyrology-may-in-english.htm#May_23rd
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.