Uaminifu
Uaminifu (kutoka neno la Kiarabu; kwa Kiingereza: faithfulness) ni tabia njema ya mtu inayomfanya akubalike kwa wengine hata wakampatia dhamana ya pesa au mamlaka fulani.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/85/E-codices_sbs-0008_007v_Hosea_mit_erhobener_Hand.TIF/lossy-page1-220px-E-codices_sbs-0008_007v_Hosea_mit_erhobener_Hand.TIF.jpg)
Kwa kawaida unapatikana kwa kuishi sawasawa na maadili ya Mungu, dini au jamii; kwa mfano sheria na taratibu za asasi, kampuni au serikali.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |