Eleazari mfiadini

Eleazari mfiadini alikuwa mzee Myahudi wa karne ya 2 KK aliyekubali kuuawa kuliko kula nyama haramu.

Kifodini cha Eleazari mwandishi kadiri ya Gustave Doré, 1866.

Habari zake zinasimuliwa katika kitabu cha pili cha Wamakabayo, sura ya 6.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki.

Sikukuu yake inaadhimishwa hasa tarehe 1 Agosti[1].

Tazama pia Edit

Tanbihi Edit

  Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Eleazari mfiadini kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.