Eumeni wa Gortina
Eumeni wa Gortina (pia: Eumenes, Eumenius, Emenaios; alifariki karne ya 7 hivi) ni kati ya maaskofu wa Gortina, Krete, leo nchini Ugiriki kabla hajahamia jangwa la Thebes, Misri, alipofariki akiwa mzee sana.
Anasifiwa kwa kutenda miujiza mingi kila alikokwenda[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
haririTanbihi
hariri- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/70670
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ Great Synaxaristes: (Kigiriki) Ὁ Ὅσιος Εὐμένιος ὁ Θαυματουργός Ἐπίσκοπος Γορτύνης. 18 Σεπτεμβρίου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.
- ↑ St Eumenius the Bishop of Gortyna. OCA - Lives of the Saints.
Viungo vya nje
haririMakala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |