Euplo
Euplo (alifariki Catania, Italia, 12 Agosti 304) alikuwa shemasi aliyefia Ukristo kwa kukatwa kichwa wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini, hasa tarehe 12 Agosti ambayo ndiyo sikukuu yake[2].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
- Catholic Online: St. Euplius
- OCA.org: Life of St. Euplus OCA.org: Life of St. Euplus
- http://files.oca.org/service-texts/2013-0811-texts.doc Service honoring St. Euplus
- Sant' Euplo (Euplio) di Catania
- Trevico –Le reliquie di Sant’Euplio al centro del turismo religioso
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |