Fara
Fara (Poincy, karne ya 6 - Faremoutiers, 675) alikuwa mwanzilishi na abesi wa kwanza wa monasteri wa Faremoutiers nchini Ufaransa kwa miaka 40[1].
Ndiye aliyemfanya kaka yake, Faro amhimize mke wake kujiunga na monasteri ili yeye aingie upadri.
Tazama pia
haririTanbihi
hariri- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/90270
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Marejeo
hariri- Riché, Pierre, Dictionnaire des Francs: Les temps Mérovingiens. Eds. Bartillat, 1996. ISBN|2-84100-008-7
- Wickham, Chris The Inheritance of Rome: A History of Europe from 400 to 1000., 2009. ISBN|978-0-7139-9429-2
- Macnamara, Jo Ann, Halborg, John E. & Whatley, E. Gordon, Sainted Women of the Dark Ages. Duke University Press, 1992. ISBN|0-8223-1200-X
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |