Abesi
Abesi (kutoka Kiingereza: abbess; pia: abatisa kutoka Kilatini abbatissa) ni cheo cha mmonaki wa kike anayeongoza monasteri kamili; kwa namna fulani kinalingana na kile cha abati na mara nyingi anavaa kama huyo msalaba kifuani kama ishara ya mamlaka yake.
Abesi ni kwa masista wake mama na mwalimu katika safari ya Kiroho. Kwa ajili hiyo anaongoza sala ya jumuia, anagawa majukumu na anasamehe utekelezaji wa vipengele fulanifulani hasa kwa walio wagonjwa.
Tanbihi hariri
Marejeo hariri
- Fletcher, Adrian (2007). "The Royal Abbey of Fontevraud". Paradox Place. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 9 May 2015. Iliwekwa mnamo 8 May 2015. More than one of
|archiveurl=
na|archive-url=
specified (help); More than one of|accessdate=
na|access-date=
specified (help); More than one of|archivedate=
na|archive-date=
specified (help); Check date values in:|archivedate=, |accessdate=
(help) - Henneberry, Thomas E. (1997). "abbess". In Johnston, Bernard. Collier's Encyclopedia. I: A to Ameland (1st ed.). New York, NY: P. F. Collier.
.
.
- Hoiberg, Dale H., ed. (2010). "abbess". Encyclopædia Britannica. 1: A-ak Bayes (15th ed.). Chicago, IL: Encyclopædia Britannica, Inc..
.
.
- Oestreich, Thomas (1907). "Abbess". Catholic Encyclopedia. 1. New York, NY: Robert Appleton Company.
.
- Rambler, Nash (11 May 2010). "Last of Her Kind: Princess Sophia Albertina of Sweden & Norway". The Esoteric Curiosa. Iliwekwa mnamo 8 May 2015. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help)
Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Abesi kama historia yake, matokeo au athari zake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |