Fridesvida (jina asili: Frithuswith, pia: Frevisse, Fris, n.k.; 650 hivi - Binsey, 727) alikuwa binti wa mfalme mdogo nchini Uingereza[1]. Alianzisha monasteri dabo huko Oxford[2] akaiongoza kama abesi[3].

Mt. Frithuswith katika dirisha la kioo cha rangi, kanisa kuu la Gloucester.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 19 Oktoba[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.