Juliani wa Toledo (Toledo, Hispania, 642 - Toledo, 690) alikuwa mmonaki mwanateolojia aliyehudumia kama askofu mkuu wa Toledo na kuacha kumbukumbu ya umakini katika haki, upendo na juhudi kwa ajili ya wokovu wa watu.

Mt. Juliani alivyochorwa.

Aliunganisha Kanisa la rasi ya Iberia na kuendesha sinodi na mitaguso mbalimbali pamoja na kurekebisha liturujia ya Toledo. Pia aliandika sana juu ya mambo mbalimbali akithibitisha imani sahihi.

Tangu zamani anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 6 Machi[1].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Vyanzo hariri

  • Collins, Roger. "Julian of Toledo and the Education of Kings in Late Seventh-Century Spain." Law, Culture and Regionalism in Early Medieval Spain. Variorum, 1992. pp. 1–22. ISBN|0-86078-308-1. Revised version of "Julian of Toledo and the Royal Succession in Late Seventh Century Spain," Early Medieval Kingship, edd. P. H. Sawyer and I. N. Wood. Leeds: School of History, University of Leeds, 1977.

Maandishi yake hariri

  • J.N. Hillgarth, B. Bischoff, W. Levison (eds.), Iulianus Toletanus. Opera, I. Prognosticon futuri saeculi libri tres. Apologeticum de tribus capitulis. De comprobatione sextae aetatis. Historia Wambae regis. Epistula ad Modoenum. (= Corpus Christianorum. Series Latina, 115), Turnhout: Brepols Publishers, 1976
  • J.C. Martín-Iglesias, V. Yarza Urquiola (eds.), Iulianus Toletanus, Felix Toletanus, Iulianus Toletanus (Ps.). Opera, II. Elogium Ildefonsi, Vita Iuliani (auctore Felice Toletano), Antikeimena, Fragmenta, Ordo annorum mund (= Corpus Christianorum. Series Latina, 115A-B), Turnhout: Brepols Publishers, 2014

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.