Kaunti ya Nyamira ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Picha ya ramani ikionesha eneo la Kaunti ya Nyamira, Kenya
Nyamira, Kenya

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 605,576 katika eneo la km2 897.3, msongamano ukiwa hivyo wa watu 675 kwa kilometa mraba[1].

Makao makuu yako Nyamira.

Utawala hariri

Kaunti ya Nyamira ina maeneo bunge yafuatayo[2]:

Eneo bunge Kata
Borabu Mekenene, Kiabonyoru, Esise, Nyansiongo
Kitutu Masaba Rigoma, Gachuba, Kemera, Magombo, Manga, Gesima
Mugirango Kaskazini Itibo, Bomwagamo, Bokeira, Magwagwa, Ekerenyo
Mugirango Magharibi Nyamaiya, Bogichora, Bosamaro, Bonyamatuta, Mugirango Mjini

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [3] hariri

  • Borabu 73,167
  • Manga 94,209
  • Masaba North 111,860
  • Nyamira North 167,267
  • Nyamira South 159,073

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30. 
  2. http://countytrak.infotrakresearch.com/Nyamira-county/
  3. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.