Klaudi wa Condat

Klaudi wa Condat (au wa Besancon; Bracon, Jura, karibu Salins-les-Bains, Ufaransa, 607 hivi - 6 Juni 696 au 699) alikuwa padri, halafu mmonaki aliyepata kuwa abati wa Condat na hatimaye askofu wa Besancon, maarufu kwa miujiza[1][2].

Mt. Klaudi katika dirisha la kioo cha rangi.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Juni[3].

Tazama piaEdit

TanbihiEdit

  1. Saint-Claude (Municipality, Jura, France)
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/56090
  3. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Viungo vya njeEdit

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.