Koskoni, Zenoni na Melanipo

Koskoni, Zenoni na Melanipo (walifariki Nisea, Bitinia, leo nchini Uturuki, karne ya 3) walikuwa Wakristo waliofia dini yao hiyo wakati wa dhuluma ya Dola la Roma[1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 18 Januari[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.