Kostabile, O.S.B. (Castellabate, Salerno, 1070 hivi - Cava de' Tirreni, Salerno, 17 Februari 1124) alijiunga na monasteri maarufu tangu utotoni akawa abati wake kuanzia mwaka 1122 hadi kifo chake.

Muujiza wa Mt. Kostabile.

Aliishi na kuongoza kwa upole na upendo wa ajabu hata akaitwa "blanketi" la ndugu.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Leo XIII tarehe 21 Desemba 1893.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 17 Februari[1].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.