Kushukia kuzimu ni fundisho la imani ya madhehebu mbalimbali ya Ukristo la kwamba Yesu Kristo, baada ya kufa msalabani siku ya Ijumaa kuu na kabla ya kufufuka kwa utukufu usiku wa Pasaka, alishukia kuzimu kwa nguvu ili kutoa roho za waadilifu zilizokuwa zikisubiri ukombozi kutoka kwake.[1]

Kristo Kuzimu.
Yesu akimshika mkono Adamu, mwaka 1504 hivi.
Kushukia kuzimu, mchoro wa karne ya 14 katika Petites Heures de Jean de Berry.

Msingi katika Biblia ya Kikristo ni hasa dondoo la Waraka wa kwanza wa Mtume Petro 3:18-22 na Waraka wa Mtume Paulo kwa Waefeso 4:9[2] This near-absence in Scripture has given rise to controversy and differing interpretations.[3].

Katika karne za kwanza za Kanisa, imani hiyo inakiriwa na Kanuni ya Imani ya Mitume (Italia) na Ungamo la Imani la Atanasi (Misri). Ilifundishwa pia na Melito wa Sardi, Tertuliani, Hipoliti wa Roma, Origen, Ambrosi n.k.

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Trumbower, J. A., "Jesus' Descent to the Underworld," in Idem, Rescue for the Dead: The Posthumous Salvation of Non-Christians in Early Christianity (Oxford, 2001) (Oxford Studies in Historical Theology), 91-108.
  • Brinkman, Martien E., "The Descent into Hell and the Phenomenon of Exorcism in the Early Church," in Jerald D. Gort, Henry Jansen and Hendrik M. Vroom (eds), Probing the Depths of Evil and Good: Multireligious Views and Case Studies (Amsterdam/New York, NY, 2007) (Currents of Encounter - Studies on the Contact between Christianity and Other Religions, Beliefs, and Cultures, 33).
  • Alyssa Lyra Pitstick, Light in Darkness: Hans Urs von Balthasar and the Catholic Doctrine of Christ's Descent into Hell (Grand Rapids (MI), Eerdmanns, 2007).
  • Gavin D'Costa, "Part IV: Christ’s Descent into Hell," in Idem, Christianity and World Religions: Disputed Questions in the Theology of Religions (Oxford, Wiley-Blackwell, 2009),
  • Georgia Frank, "Christ’s Descent to the Underworld in Ancient Ritual and Legend," in Robert J. Daly (ed), Apocalyptic Thought in Early Christianity (Grand Rapids (MI), Baker Academic, 2009) (Holy Cross Studies in Patristic Theology and History), 211-226.
  • Hilarion Alfayev, Christ the Conqueror of Hell: The Descent into Hades from an Orthodox Perspective. St Vladimirs Seminary Pr (November 20, 2009)

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kushukia kuzimu kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.