Lamberti wa Lyon (Therouanne, 625 - Lyon, 685 hivi) alikuwa askofu mkuu wa mji huo, leo nchini Ufaransa, tangu mwaka 678. Kabla ya hapo alikuwa mmonaki na hatimaye abati wa Fontenelle [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Aprili[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.