Launomaro (pia: Lomer, Laumer, Laudomarus, Launomar; alifariki 593) alikuwa mmonaki anayetajwa kama abati wa monasteri ya Corbion, aliyoianzisha upwekeni huko Perche, leo nchini Ufaransa.[1][2][3].

Mt. Lomer.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 19 Januari[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Butler, Rev. Alban (1866). "St. Lomer, or Laudomarus, Abbot". The Lives of the Saints. I: January. Bartleby. Iliwekwa mnamo May 7, 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Saint Lomer of Corbion". CatholicSaints.Info. Iliwekwa mnamo May 7, 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/38310
  4. Martyrologium Romanum
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.