Lebuino (kwa Kilatini Lebuinus; awali: Lebuin, Lebwin au Liafwin[e]; alifariki Deventer, leo nchini Uholanzi, 775 hivi) alikuwa mmonaki Mbenedikto kutoka Northumbria (Uingereza) maarufu kwa umisionari wake kama padri katika Uholanzi na Ujerumani ya leo kuanzia mwaka 754 hadi kifo chake[1][2].

Mt. Lebuino katika mchoro wa ukutani.

Anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe 12 Novemba[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Vyanzo hariri

  • Lives of St Lebuinus:
    • Vita (Lebuini) antiqua, earliest Life (9th or early 10th century)
    • Hucbald of Saint-Amand, Vita Lebuini (between 918 and 930).
      • ed. Laurentius Surius. Vitæ Sanctorum 6. ku. 277–86.  ; ed. Patrologia Latina 132, pp. 877–94; MGH Scriptores 2, pp. 360–4, in abbreviated form.
      • tr. Serenus Cressy. Church History of Brittany 24.7. 
    • 15th-century Life
      • ed. M. Coens, 'Vie de S. Lebuin', in: Analecta bollandiana, 34/35 (1915-1916) 319–330.
  • Radbod, Ecloga et Sermo (on Lebuinus), in Surius, VI, 839
  • Altfrid, Vita Liutgeri in MGH Scriptores, II, 360 sqq.

Marejeo mengine hariri

  • Hesterman, F. (1935). Der hl. Lebuin. 
  • Levison, W. (1956). England and the Continent in the 8th Century. ku. 108–10. 
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.