Tomaso wa Villanova
Tomaso wa Villanova, O.S.A., awali Tomás García y Martínez (Villanueva de los Infantes, 1488 – Valencia, 8 Septemba 1555) alikuwa mtawa kutoka Hispania maarufu kama mhubiri na mwandishi.
Hatimaye alipata kuwa askofu mkuu aliyeshughulikia sana maskini wa jimbo lake.
Papa Aleksanda VII alimtangaza mtakatifu tarehe 1 Novemba 1658.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Life of Thomas of Villanova (Augustinians of the Midwest)
- Hotuba za Mt. Tomaso wa Villanova Archived 16 Machi 2016 at the Wayback Machine. (kwa Kilatini)