Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!

Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.

Ukipenda kutumia kurasa zetu za mwongozo na msaada, a) ukitumia simu bofya kwa "Dawati" chini kwenye dirisha lako na n) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "Switch to old look" kwenye menyu upande wa kushoto.

Kwa mawili matatu labda tazama:

Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia ukurasa wako kwa majaribio. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye ukurasa wako wa mtumiaji. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.

Ujue miiko:

Tunakushauri pia kuandikisha email yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!


Welcome to Kiswahili Wikipedia!

We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to this site. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at Wikipedia:Wakabidhi. And, please:

  • do not post computer translated texts (like Google Translate, Content Translation, etc. all do not work for Swahili)
  • nor copied texts/images from other webs to this site!
  • do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.

As a newcomer we advise that you register your email. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.

--Baba Tabita (majadiliano) 03:57, 24 Aprili 2018 (UTC)Reply

Angalia nilivyorekebisha ukurasa wako wa Ditram Nchimbi ili uzidi kutunga makala kwa ubora zaidi. Amani kwako! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 06:57, 18 Desemba 2019 (UTC)Reply


Tangazo hariri

Habari ndugu Mwanawikipedia!

Mimi ni mwezeshaji wa mradi uitwao Mwongozo Wa Kimataifa Wa Mwenendo Na Maadili. Ni mradi mchanga/mpya ambao Shirika la Wikimedia Foundation linanuia kuuanzisha endapo wadau wataona ni mradi unaofaa. Nakukaribisha usome mwongozo huo na kisha utoe maoni yako kwa kujibu maswali yote au baadhi yake kwa yale utakayopenda kuyatolea maoni HAPA

Taarifa zaidi kuhusu Mwongozo wa Kimataifa wa Nidhamu na Mwenendo

Shirika la Wikimedia Foundation lina mpango wa kuanzisha Mwongozo Wa Kimataifa Wa Mwenendo Na Maadili. Lengo la mwongozo huo ni kujaribu kuainisha vitu vya msingi vinavyopatikana katika miongozo midogo midogo iliyopo tayari katika kila jamii husika (mfano Jumuiya yetu hii ya wahariri wa Wikipedia ya Kiswahili). Lengo hasa la mwongozo huu ni kutengeneza mazingira ambayo wanawikipedia wote duniani watakuwa na uelewa wa pamoja juu ya vitu vya msingi kuhusu nini kinakubalika na kipi hakikubaliki wakati wa uchangiaji (uhariri) wa Wikipedia na pale wanawikipedia wanapowasiliana kwenye Wikipedia au ana kwa ana katika warsha na mikutano ya Wanawikipedia. Wazo hilo limekuja baada kukithiri kwa baadhi ya Wanawikimedia kukumbana kufanyiwa unyanyasaji wa kitabia (mfano matusi, kuitana majina yasiyofaa, kutishiana n.k) na Wanawikimedia wenzao, hivyo kuwakatisha tamaa ya kuendelea kuchangia katika miradi ya Wikimedia.Hivyo, wewe kama mdau muhimu katika miradi ya Wikimedia Foundation, unakaribishwa ku soma zaidi kuhusu mwongozo huo Hapana baada ya kuusoma mwongozo huo unaweza ku toa maoni yako Hapa kabla ya tar 15 April 2020.

Mwaliko wa kujiunga na kundi la Wahariri wa Wikipedia

Nakukaribisha ujiunge na kundi la Wahariri wa Wikipedia kutoka Dar es Salaam ili tuweze kujadiliana na kubadilishana uzoefu na mambo kadha wa kadha kuhusu Uhariri wa Wikipedia. Iwapo utapenda kujiunga, usisite kuwasiliana nasi kupitia wikitzagroup@gmail.com, na kwa taarifa zaidi kuhusu kundi la Wahariri wa Wikipedia wa hapa Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla na miradi waliyoitekeleza tayari, unaweza tembelea hapa ukurasa wao wa meta uitwao Wikimedia Community User Group Tanzania au pia katika Facebook kwa jila la Wikimedia Tanzania.

Ndimi AMtavangu (WMF) (majadiliano) 22:19, 5 Aprili 2020 (UTC)Reply


Makala zako hariri

Habari Chicharito, nafurahi kuona jinsi unavyochangia. Unaweza kuboresha michango yako! Tafadhali angalia kwenye dirisha la ""kuhariri chanzo" Dodoma F.C., uone nilichoongeza: 1) Jamii (Vilabu Mpira vya Tanzania), - 2) Interwiki (kuiunganisha na makala ya Kiingereza), - 3.) Chanzo (tazama kifungu cha Marejeo). Ukihitaji msaada, uliza tu! Kipala (majadiliano) 17:43, 20 Agosti 2020 (UTC)Reply

We sent you an e-mail hariri

Hello Chicharito JR Presenter,

Really sorry for the inconvenience. This is a gentle note to request that you check your email. We sent you a message titled "The Community Insights survey is coming!". If you have questions, email surveys@wikimedia.org.

You can see my explanation here.

MediaWiki message delivery (majadiliano) 18:54, 25 Septemba 2020 (UTC)Reply

Makala bila vyanzo, jamii hariri

Habari, nimeona umeleta tena makala bila vyanzo vyovyote. Hasa kama ni makala za watu, hii haikubaliki tena. Naomba urudie kuangalia makala zako na ingiza vyanzo. Unaweza kutumia tovuti ya simbasc.co.tz kama marejeo, (facebook na social media za wenyewe hazifai). Pia unahitaji kupanga makala zako katika jamii. Kwa mfano kwa yule Oppa unaweza kutumia jamii mbili, kama vile Jamii:Wachezaji mpira wa Tanzania na pia Jamii:Wachezaji mpira wa kike‎. Ukiwa na swali - karibu kuuliza. Tafadhali usipuuze ushauri huu! Kwanza unapunguza wasomaji wa makala zako usipotumia jamii, pili unapuuza masharti kuhusu makala hapa, tatu unasababisha kazi ya nyongeza kwa wengine wanaopaswa kusafisha kasoro za makala zako, na nne inaweza kutokea kwamba huruhusiwi tena hapa ukiendelea kupuuza ushauri unaopata. Kipala (majadiliano) 11:01, 3 Desemba 2020 (UTC)Reply

Asante nitalifanyia kazi Chicharito JR Presenter (majadiliano) 11:35, 3 Desemba 2020 (UTC)Reply

Uwe makini, Aisha Masaka si unachoweza! hariri

Chicharito nimepitia makala ya Aisha Masaka uliyoanzisha. Naomba sana usilete tena kitu kama hiki!! Wewe si mgeni hapa, unajua makala inahitaji vyanzo / marejeo na jamii! Mbona huweki? Tafadhali usilete tena makala taka, unajua jinsi ya kufanya! Nenda sasa ukarekibishe. Kipala (majadiliano) 18:07, 5 Septemba 2021 (UTC)Reply