Maria Alfonsa Matathupadathu
Maria Alphonsa Muttathupadathu (Kudamalloor, karibu na Kottayam, huko Kerala[1]19 Agosti 1910 - Bharananganam, 28 Julai 1946) alikuwa bikira Mfransisko wa Kanisa Katoliki la Kisiria la Malabar nchini India.
Ili asiolewe kwa shuruti, alijichoma mguu kwa kuuweka motoni. Kisha kupokewa katika shirika ya Waklara wa Kimalabari, alimtolea Mungu maisha yake yote akiwa mgonjwa karibu mfululizo.
Alitangazwa mwenye heri na Papa Yohane Paulo II tarehe 8 Februari 1986 akatangazwa mtakatifu na Papa Benedikto XVI tarehe 12 Oktoba 2008.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ ""St. Alphonsa – Our Patroness" St. Alphonsa Church, Bangalore". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2015-02-22. Iliwekwa mnamo 2015-02-06.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Official website
- St. Alphonsa Anna Muttathupadam of the Immaculate Conception, F. C. C. Archived 11 Agosti 2010 at the Wayback Machine.
- Pope John Paul II On Blessed Alphonsa of India
- 100 Maxims of the saint Archived 19 Agosti 2011 at the Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |