Jan - Februari - Mac
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29
Kalenda ya Gregori

Tarehe 8 Februari ni siku ya thelathini na tisa ya mwaka. Mpaka uishe zinabaki siku 326 (327 katika miaka mirefu).

Matukio hariri

Waliozaliwa hariri

Waliofariki hariri

Sikukuu hariri

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Jeromu Emiliani, Yosefina Bakhita, Kointa, Invensyo, Wamonaki wafiadini wa Konstantinopoli, Jakuto, Honorati wa Milano, Niseti wa Besancon, Paulo wa Verdun, Stefano wa Grandmont n.k.

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 8 Februari kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.