Marcouf

(Elekezwa kutoka Markulfo)

Marcouf (pia Marcoult, Marculf, Marcoul, Marcou; alifariki 1 Mei 558) alikuwa mkaapweke, halafu abati wa Nantus (Nanteuil-en-Cotentin), Cotentin, Ufaransa[1].

Marcouf akimponya mfalme wa Ufaransa.

Alishughulikia uinjilishaji wa kisiwa cha Jersey.

Tangu kale huheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Mei[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.