Marsiano wa Kalsedonia

Marsiano wa Kalsedonia (karne ya 4 BK - 388 hivi) anakumbukwa kama mkaapweke kutoka Kuro, Syria, aliyejiunga na monasteri karibu na Kalsedonia, leo nchini Uturuki, akiishi kwa toba kali katika chumba kidogo.

Theodoreto wa Kuro aliandika kirefu juu yake na mafundisho yake katika kitabu Historia ya Wamonaki[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Novemba[2]

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/90418
  2. Martyrologium Romanum
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.