Masimino wa Trier (Silly, leo nchini Ubelgiji, karne ya 3 - Poitiers, leo nchini Ufaransa, 12 Septemba 346/349) alikuwa askofu wa 6 wa Trier, leo nchini Ujerumani, aliyepinga sana Uario na kukaribisha Atanasi wa Aleksandria na maaskofu wengine wenye msimamo wake [1] hata serikali ikamfukuza jimboni[2].

Sanamu ya Mt. Masimino.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu[3].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Mei[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Athanasius, Epistolae Aeg. 8.336f.
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/55040
  3. Gregory of Tours, De gloria confessorum, xciii, published in Patrologia Latina lxii, cc, 898ff, noted by Warren Sanderson, "The Early Mediaeval Crypts of Saint Maximin at Trier", The Journal of the Society of Architectural Historians 24.4 (December 1965:03-310) p.305, note 11.
  4. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.