Mkoa wa Kavango
Mkoa wa Kavango ni moja ya mikoa 13 ya kujitawala ya Namibia lenye wakazi 201,093 kwenye eneo la 43,418 km². Mji mkuu ni Rundu.

Mahali pa Kavango katika Namibia
JiografiaEdit
Miji mikubwa ni pamoja na Rundu na Nkurenkuru.
Picha za KavangoEdit
Mto Okavango
Tovuti za NjeEdit
- Kavango - Official Website Archived 26 Juni 2011 at the Wayback Machine.
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Namibia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Kavango kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Caprivi | Erongo | Hardap | Karas | Kavango | Khomas | Kunene | Ohangwena | Omaheke | Omusati | Oshana | Oshikoto | Otjozondjupa |