Papa Julius II
Papa, 1503-1513
Papa Julius II (5 Desemba 1443 – 21 Februari 1513) alikuwa Papa kuanzia tarehe 1 Novemba/26 Novemba 1503 hadi kifo chake[1]. Alitokea Albisola, Italia[2].
Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giuliano della Rovere.
Alimfuata Papa Pius III akafuatwa na Papa Leo X.
Tazama piaEdit
TanbihiEdit
Viungo vya njeEdit
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Julius II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |