Papa Urban II, O.S.B. (104229 Julai 1099) alikuwa Papa kuanzia tarehe 12 Machi 1088 hadi kifo chake[1]. Alitokea Chatillon-sur-Marne, Ufaransa[2].

Papa Urban II.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Odo wa Lagery.

Alimfuata Papa Vikta III akafuatwa na Papa Paskali II.

Papa Leo XIII alimtangaza mwenye heri.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[3].

Tazama pia

hariri

Tanbihi

hariri

Viungo vya nje

hariri

Lua error in package.lua at line 80: module 'Module:Navbar/configuration' not found.

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Urban II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.