Paulo Lang Fu (Lu, 1893 hivi - Lujiapo, 16 Julai 1900) alikuwa mtoto wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Mabondia pamoja na mama yake Lang Yangzhi.

Wafiadini Wakatoliki wa China.

Kwa kuwa huyo alijitambulishwa kama Mkristo, nyumba yao ilichomwa moto wao wakiwa ndani [1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai lakini ya kwake mwenyewe ni tarehe ya kifodini chake[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.