Pedrog (kwa Kiwelisi; pia: Petroc, Petrocus, Petrek, Perreux; 468 hivi[1] - 564 hivi) alikuwa mwanamfalme[2] na mmonaki wa Welisi, halafu mmisionari huko Cornwall alipokuwa ameanzisha monasteri na shule yake)[3].

Mt. Pedrog katika kioo cha rangi.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waanglikana na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 4 Juni[4][5].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. "EBK: St. Petroc, Abbot of Padstow". www.earlybritishkingdoms.com. 
  2. "Book of Saints – Petrock". 20 October 2016.  Check date values in: |date= (help)
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/92830
  4. Martyrologium Romanum
  5. "The Calendar". The Church of England (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 27 March 2021.  Check date values in: |accessdate= (help)

Vyanzo hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.