Petro Juliani Eymard

Petro Juliani Eymard (La Mure, Grenoble, Ufaransa, 4 Februari 1811 – La Mure, 1 Agosti 1868) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki, aliyeanzisha mashirika mawili ya kitawa.

Picha ya mtakatifu Petro Juliani Eymard.

Alitangazwa mwenye heri na Papa Pius XI tarehe 12 Julai 1925, halafu mtakatifu na Papa Yohane XXIII tarehe 9 Desemba 1962.

Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka tarehe 2 Agosti[1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza Eymard "Mtume wa Ekaristi".[2]

Tazama piaEdit

TanbihiEdit

Viungo vya njeEdit

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.