Petro I wa Aleksandria
(Elekezwa kutoka Petro wa Aleksandria)
Petro I wa Aleksandria alikuwa Papa wa 17 wa Kanisa la Kikopti na alifia dini ya Ukristo tarehe 25 Novemba 311 chini ya kaisari Dioklesyano.
Pamoja naye waliuawa maaskofu Esiki, Pakomi na Theodori, mapadri Fausto, Dio na Amoni na wengine wengi.
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki, Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.[1]
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ "St. Peter of Alexandria". Catholic Encyclopedia. New York: Robert Appleton Company. 1913.
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ http://catholicsaints.info/saint-peter-of-alexandria-25-november/
Marejeo hariri
- "Petros I (300–311)". Official web site of the Greek Orthodox Patriarchate of Alexandria and All Africa. Iliwekwa mnamo 2011-02-08.
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Hieromartyr Peter the Archbishop of Alexandria Eastern Orthodox icon and synaxarion
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |