Prospa wa Tarragona

Prospa wa Tarragona (kwa Kikatalunya: Pròsper; karne ya 7 - Camogli[1][2], Italia Kaskazini, 718) alikuwa askofu mkuu wa Tarragona, nchini Hispania, ambaye mwaka 711 alipaswa kukimbia nchi yake kutokana na uvamizi wa Waarabu [3].

Tangu zamani anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 2 Septemba[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Vyanzo hariri

  • Pròspero de Tarragona, in Diccionario biográfico español, Real Academia de la Historia.
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.