Reinilde, Grimoaldi na Gondolfi

Reinilde (pia: Reinhild, Rainelde n.k.; Condacum, leo Kontich, nchini Ubelgiji, 630 hivi; Saintes[1], Hainault, leo nchini Ubelgiji, 700 hivi) alikuwa bikira wa ukoo wa kifalme, mtoto wa Amalberga wa Maubeuge, na dada wa Gudula na Emebati, ambao wote watatu wanaheshimiwa kama watakatifu.

Mt. Reinilde akiwa amevaa kihija kadiri ya Maestro wa Elsloo, 1530 hivi.

Baada ya kuhiji Yerusalemu[2] alijitosa katika matendo ya huruma[3] hadi alipokatwa kichwa na Wahunni pamoja na shemasi Grimoaldi na mtumishi wake Gondolfi[4].

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 16 Julai[5]..

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. "Tubize". Communes of Brabant Wallon. Expatriate Online: Your Bookmark to Belgium. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2006-11-12. Iliwekwa mnamo 2007-02-21. 
  2. Vita Reineldis, Acta Sanctorum, Julii IV, 173-178.
  3. Rabenstein, Katherine (July 1998). "Reineldis". Saints O' the Day for July 16. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo February 6, 2007. Iliwekwa mnamo 2012-02-23.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); Check date values in: |date=, |archivedate= (help)
  4. https://www.santiebeati.it/dettaglio/93280
  5. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.