Sereno wa Marseille
Sereno wa Marseille (karne ya 6 - Vercelli, Italia, 601 hivi) alikuwa askofu wa 10 wa Marseille, katika Ufaransa wa leo, kuanzia mwaka 596 hivi hadi kifo chake[1].
Papa Gregori I alimuandikia barua nne zilizotufikia[2][3].
Alipokea kwa ukarimu Augustino wa Canterbury na wenzake waliotumwa na Papa huyo kuinjilisha Uingereza[4].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Nominis : saint Serenus de Marseille
- ↑ Google Livres : René François Rohrbacher, Histoire universelle de l'église catholique, Volume 9, Paris, 1843
- ↑ Google Livres : Claude Fleury, Histoire Ecclésiastique: Depuis l'an 483 jusqu'à l'an 678, Volume 8, Paris, 1701
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/92048
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |