Siku ya Kiswahili Duniani

Siku ya Kiswahili Duniani (kwa Kiing. World Kiswahili Language Day) ni tarehe 7 Julai iliyoteuliwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) kuadhimisha lugha ya Kiswahili kila mwaka kuanzia 2022[1].

Mkutano Mkuu wa UNESCO uliamua kwenye tarehe 23 Novemba 2021 kutangaza Siku ya Kiswahili Duniani iadhimishwe kila mwaka.

Kwa azimio hilo UNESCO inalenga kutambua kuwa

Tarehe 7 Julai ilichaguliwa kukumbuka:

Tanbihi hariri

Marejeo hariri