1954
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1920 |
Miaka ya 1930 |
Miaka ya 1940 |
Miaka ya 1950
| Miaka ya 1960
| Miaka ya 1970
| Miaka ya 1980
| ►
◄◄ |
◄ |
1950 |
1951 |
1952 |
1953 |
1954
| 1955
| 1956
| 1957
| 1958
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1954 BK (Baada ya Kristo).
MatukioEdit
- 7 Julai - Chama cha TANU kinaanzishwa huko Tanganyika.
WaliozaliwaEdit
Kalenda ya Gregori | 2021 MMXXI |
Kalenda ya Kiyahudi | 5781 – 5782 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2774 |
Kalenda ya Ethiopia | 2013 – 2014 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1470 ԹՎ ՌՆՀ |
Kalenda ya Kiislamu | 1443 – 1444 |
Kalenda ya Kiajemi | 1399 – 1400 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2076 – 2077 |
- Shaka Samvat | 1943 – 1944 |
- Kali Yuga | 5122 – 5123 |
Kalenda ya Kichina | 4717 – 4718 庚子 – 辛丑 |
- 1 Januari - Sigfrid Selemani Ng'itu, mwanasiasa wa Tanzania
- 15 Januari - Saning'o Kaika Ole Telele, mwanasiasa wa Tanzania
- 13 Februari - Vijay Seshadri, mshairi kutoka Marekani
- 25 Februari - Renate Dorrestein, mwandishi wa kike kutoka Uholanzi
- 18 Machi - John Damiano Komba, mwanasiasa kutoka Tanzania
- 8 Mei - John Michael Talbot, mwimbaji Mkristo kutoka Marekani
- 22 Mei - Shuji Nakamura, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 2013
- 2 Julai - Omar Shabani Kwaangw', mwanasiasa wa Tanzania
- 13 Julai - Sezen Aksu, mwanamuziki kutoka Uturuki
- 17 Julai - Angela Merkel, chansela wa Ujerumani (tangu 2005)
- 12 Agosti - Sam J. Jones, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 14 Agosti - Agapiti Ndorobo, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- 8 Oktoba - Michael Dudikoff, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 24 Oktoba - Wahome Mutahi, mwandishi kutoka Kenya
- 6 Novemba - Stephen Watson, mwandishi wa Afrika Kusini
- 10 Desemba - Rita Louise Mlaki, mwanasiasa wa Tanzania
WaliofarikiEdit
- 1 Januari - Leonard Bacon, mshairi kutoka Marekani
- 7 Machi - Otto Diels, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1950
- 28 Aprili - Leon Jouhaux, kiongozi Mfaransa wa chama cha wafanyakazi, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1951
- 13 Julai - Frida Kahlo, mchoraji kutoka Mexiko
- 14 Julai - Jacinto Benavente, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1922
- 16 Agosti - Charles Warren, mwanahistoria kutoka Marekani
- 3 Novemba - Henri Matisse, mchoraji kutoka Ufaransa
- 28 Novemba - Enrico Fermi, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1938
Viungo vya njeEdit
Wikimedia Commons ina media kuhusu: