Stanislaus Kostka
Stanislaus Kostka (Rostkowo, leo nchini Polandi, 28 Oktoba 1550 – Roma, Italia, 15 Agosti 1568[1]) alikuwa mtawa kijana katika shirika la Wajesuiti[2].
Tarehe 9 Oktoba 1605 alitangazwa na Papa Paulo V kuwa mwenye heri, halafu tarehe 31 Desemba 1726 akatangazwa na Papa Benedikto XIII kuwa mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ "MESSAGE OF THE HOLY FATHER FRANCIS FOR THE 450TH ANNIVERSARY OF THE DEATH OF SAINT STANISLAUS KOSTKA". Iliwekwa mnamo 9 December 2018. Check date values in:
|accessdate=
(help) - ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/66200
- ↑ Martyrologium Romanum
Vyanzo hariri
- Holweck, F. G., A Biographical Dictionary of the Saints. St. Louis, MO: B. Herder Book Co., 1924.
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |