Tasak (kwa Kilatini: Assicus; Ireland, karne ya 6 - Racoon, Ireland, 590 hivi) alikuwa askofu wa kwanza wa Elphin, anaposemekana aliwekwa na Patrick aliyemuongoa kumuamini Yesu [1][2].

Mt. Tasak katika dirisha la kioo cha rangi.
Mt. Tasak akimfanyia ibada Mt. Patrick kufani.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu, heshima iliyothibitishwa na Papa Leo XIII tarehe 19 Juni 1902.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Aprili[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.