Tinginya ni kata ya Wilaya ya Tunduru katika Mkoa wa Ruvuma, Tanzania.

Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka 2022, kata ilikuwa na wakazi wapatao 6,689 [1].

Wakazi wa kata ya Tinginya ni mchanganyiko wa makabila kutoka mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara. Makabila hayo ni Wayao, Wamakonde, Wamakua na Wamwera.

Kata ina shule tatu za msingi ambazo ni Tinginya, Namatanda na Kawawa.

Marejeo hariri

  Kata za Wilaya ya Tunduru - Mkoa wa Ruvuma - Tanzania  

Chiwana | Jakika | Kalulu | Kidodoma | Ligoma | Ligunga | Lukumbule | Majengo | Majimaji | Marumba | Masonya | Matemanga | Mbati | Mbesa | Mchangani | Mchesi | Mchoteka | Mchuluka | Mindu | Misechela | Mlingoti Magharibi | Mlingoti Mashariki | Mtina | Muhuwesi | Nakapanya | Nakayaya | Nalasi Magharibi | Nalasi Mashariki | Namakambale | Namasakata | Namiungo | Nampungu | Namwinyu | Nandembo | Nanjoka | Ngapa | Sisi Kwa Sisi | Tinginya | Tuwemacho


  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Ruvuma bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Tinginya kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.